Vijana CCM wajitokeza kwa wingi ubunge wa EALA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama cha mapinduzi , Humphrey Polepole amesema hadi kufikia jana Machi 24, wanachama wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania ubunge wa Afrika Mashariki walikuwa 452.

