Arsenal, Dele Alli 'wapigwa rungu' na UEFA

Dele Alli akioneshwa kadi nyekundu katika moja ya mechi za UEFA dhidi ya Gent

Kiungo wa klabu ya soka ya Tottenham ya nchini Uingereza, Dele Alli amefungiwa michezo mitatu ya kwenye mashindano ya vilabu Barani Ulaya, kufuatia kupewa kadi nyekundu kwenye mchezo dhidiya Gent mwezi uliopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS