Arsenal, Dele Alli 'wapigwa rungu' na UEFA
Kiungo wa klabu ya soka ya Tottenham ya nchini Uingereza, Dele Alli amefungiwa michezo mitatu ya kwenye mashindano ya vilabu Barani Ulaya, kufuatia kupewa kadi nyekundu kwenye mchezo dhidiya Gent mwezi uliopita.

