Kamati Kuu CCM Mwenyekiti wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli (kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Salim Ahmed Salim mara baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam Read more about Kamati Kuu CCM