Thomas Ulimwengu aanza makeke Sweden

Thomas Ulimwengu

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu jana ametoa pasi ya bao timu yake, AFC Eskilstuna ikipata sare ya 1-1 na Elfsborg zote za Ligi Kuu ya Sweden katika mchezo wa kirafiki nchini Hispania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS