Misri yaweka rekodi AFCON
Misri imeweka rekodi kwa kufanikiwa kufuzu kwa mara ya tisa katika fainali za kombe la Afrika baada ya kuishinda Burkina Faso 4-3 katika mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa usiku wa kuamkia leo.