Misri yaweka rekodi AFCON

Mlinda mlango wa Misri Essam El Hadary

Misri imeweka rekodi kwa kufanikiwa kufuzu kwa mara ya tisa katika fainali za kombe la Afrika baada ya kuishinda Burkina Faso 4-3 katika mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS