Sianga kuanza na mahakimu waliovurunda kesi

Mkuu wa Mkoa wa DSM, Paul Makonda akikabidhi majina ya watuhumiwa kwa Kamishna Mkuu Rogers Sianga

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya sasa imeshika kasi, mara baada ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Dkt. Rogers William Sianga kutangaza kuanza na majaji na mahakimu waliovurunda kwenye kesi zinazohusu dawa za kulevya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS