Kichuya aiponza Yanga, yaomba radhi

Mchezaji wa Simba Shiza Kichuya ambaye alitupia bao la ushindi siku ya Jumamosi katika mchezo kati ya Simba na Yanga ambapo timu hizo zilimaliza mchezo kwa Simba kuibuka na ushindi wa 2- 1, ameilazimisha Yanga kuwaangukia mashabiki zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS