Jokate akerwa na matusi kwa wanawake

Jokate Mwegelo

Mwanamitindo maarufu nchini, Jokate Mwegelo amewataka watu kuacha kutumia lugha za maneno makali (matusi) dhidi ya wanawake kwa kuwa wanawake ni watu wanaohifadhi maumivu na mambo mengi  kwenye moyo zaidi ya wanaume.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS