Azam FC waaga mashindano

Azam Vs Mbabane Swallows, Chamazi DSM.

Klabu ya Azam ya Jijini Dar es Salaam, imetupwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Mbabane Swallows ya Swaziland.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS