Madaktari wa Tanzania wapingwa Kenya

Ouma Oluga (Kushoto)

Umoja wa Madaktari, Wauguzi na Wataalamu wa Meno nchini Kenya,(KMPDU), umepinga vikali hatua ya Serikali ya Kenya kuleta madaktari kutoka Tanzania wakati Kenya ina madaktari wengi ambao hawaajiriwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS