Madaktari wa Tanzania wapingwa Kenya Ouma Oluga (Kushoto) Umoja wa Madaktari, Wauguzi na Wataalamu wa Meno nchini Kenya,(KMPDU), umepinga vikali hatua ya Serikali ya Kenya kuleta madaktari kutoka Tanzania wakati Kenya ina madaktari wengi ambao hawaajiriwa. Read more about Madaktari wa Tanzania wapingwa Kenya