Kesi ya Lissu yasogezwa Nov.3 kupisha uchaguzi Kesi hiyo iliyoanza kusikilizwa mfululizo tangu Oktoba 6, imeahirishwa baada ya upande wa Jamhuri kuomba kuahirisha shauri hilo ili kupisha uchaguzi mkuu ambao upo kwa mujibu wa Katiba. Read more about Kesi ya Lissu yasogezwa Nov.3 kupisha uchaguzi