3 wafariki dunia kwa ajali ya gari Waliofariki dunia wametajwa kuwa ni Samwel Nyerembe (44) mkazi wa Bonite ambaye alikuwa dereva wa Noah, Rebeka Tarimo (29) mkazi wa Soweto na Farida Mazimu (40) mkazi wa Bonite. Read more about 3 wafariki dunia kwa ajali ya gari