Rekodi mpya ya Yanga baada ya ubingwa wa 32
Yanga SC wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/26 baada ya kuhakikisha wanamaliza kileleni mwa msimamo wakiwa na alama 75 ukiwa ni ubingwa wa 32 katika histori ya klabu hiyo na ubingwa wa tano mfululizo

