Serikali yazipiga marufuku halmashauri
Serikali imepiga marufuku halmashauri zote nchini kuingia makubaliano na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali(NGO’S) bila kupitia na kuidhinishwa na Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa( TAMISEMI ).