Bavicha yatoa salamu za kumuaga Katambi
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), Patrick Ole Sosopi amesema kwamba kuondoka kwa Mwenyekiti wa baraza hilo Patrobas Katambi ndani ya Chama hicho hakijawateteresha na kudai kwamba Katambi hakuwa mkubwa kuliko Chama chao.