Manara atokwa na mapovu sare ya Simba Mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano ndani ya klabu ya Simba Haji Manara amesema Simba sio timu ya kwanza kutoa sare au kufungwa na Mwadui hivyo mashabiki wasiongee sana. Read more about Manara atokwa na mapovu sare ya Simba