Muhimbili waja kivingine
Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi Muhimbili, Muhas, kwa mara ya kwanza kimeandaa mtaala wa shahada ya mwanzo ya wauguzi watakaoshughulikia wagonjwa watakaopata dawa za usingizi kabla na baada ya upasuaji ili kuboresha huduma za afya nchini.