Binti wa kazi amuuwa muajiri na mtoto wake Jeshi la Polisi katika eneo la Kisumu, nchini Kenya, linamtafuta msichana ambaye ni msaidizi wa kazi za nyumbani kwa tuhuma za kumuuwa muajiri wake na mtoto wa miezi mitatu ambaye ni wa muajiri huyo. Read more about Binti wa kazi amuuwa muajiri na mtoto wake