Ronaldo apewa shavu Kombe la Dunia Nguli wa soka wa zamani Ronaldo De Lima wa Brazil, amepewa majukumu ya kuzindua rasmi fainali za Kombe la Dunia 2018 kwenye mechi ya ufunguzi kati ya wenyeji Urusi dhidi ya Saudi Arabia Alhamisi ya Juni 14. Read more about Ronaldo apewa shavu Kombe la Dunia