Mtanzania ashinda Tuzo Marekani

Mkurugenzi wa ‘Grace Products’ Dkt. Elizabeth Kilili amepokea tuzo ya utengenezaji wa vipodozi asilia katika tuzo za ‘International Quality Summit Award (IQSW) ‘ zilizofanyika Jijini NewYork nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS