Azam FC yanasa mshambuliaji mwingine Klabu ya Azam FC, imethibitisha kuingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji Ditram Nchimbi, akitokea Njombe Mji iliyoshuka daraja msimu huu katika ligi kuu soka Tanzania bara. Read more about Azam FC yanasa mshambuliaji mwingine