Bball Kings 2018 mambo yameiva

Michuano ya kumsaka bingwa wa mpira wa Kikapu yanayoratibiwa na East Africa Television LTD, kwa kushirikiana na Kinywaji baridi cha Sprite usaili umeanza leo asubuhi katika viwanja vya Mlimani City Mall ambapo utafanyika kwa siku ya leo pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS