"Shaa hayupo sawa Kisaikolojia" - Master J

Mtayarishaji wa Muziki Mkongwe, Joachim Kimaro, Master J ameweka waazi kwamba  kwa sasa mwanamuziki, Malikia wa uswazi, Shaa, hayupo sawa kisaikolojia kutokana na matatizo aliyoyapitia hapo nyuma ikiwa  kumpoteza mama yake mzazi ndiyo maana amekaa kimya kwenye 'game'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS