Askari Polisi wakiwa eneo la ajali wilayani Ikungi, mkoani Singida.
Watu wawili wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa katika ajali iliyotokea mkaoni Singida iliyohusisha gari la halmashauri ya Meatu lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Singida.