Humud ayakataa majina makubwa KMC Mchezaji Abdulhalim Humud Nyota mpya wa klabu ya soka ya KMC inayomilikiwa na Manispaa ya Kinondoni, Abdulalim Humud, amesema lengo la timu hiyo si kuwa na majina makubwa tu bali ni wachezaji kuwa na msaada katika kutimiza malengo ya timu. Read more about Humud ayakataa majina makubwa KMC