Anderson wa Afrika Kusini kumkwamisha Djokovic ?

Kushoto ni mcheza tenisi Novak Djokovic wa Serbia na kulia ni Kevin Anderson wa Afrika Kusini.

Mcheza tenisi Kevin Anderson raia wa Afrika Kusini leo anashuka dimbani kucheza mchezo wa fainali ya michuano ya Wimbledon dhidi ya mkongwe Novak Djokovic.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS