Fahamu vitu vivyopelekea kuharibu macho yako

Rangi na kope bandia za macho.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kupitia kwa Kaimu Meneja wa Mpango wa Huduma za Macho, Dkt. Bernadetha Shilio, imeeleza kuwa ongezeko la watu wenye matatizo ya macho nchini ni kutokana na matumizi ya vitu vingi, vikiwemo rangi na kope za bandia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS