Hytham afunguka kuhusu picha yake ya utata Mwanadada, Hytham Kim. Msanii wa bongo fleva, Hytham Kim ambaye hivi karibuni aliweka picha mtandaoni ikimuonesha akiwa mjamzito, amejibu tuhuma hizo, akisema kuwa kitendo hicho ni cha kawaida. Read more about Hytham afunguka kuhusu picha yake ya utata