Wafanyabiashara Zambia,Malawi wawaponza watanzania
Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wa nchi za Zambia na Malawi kutopatiwa risiti na wafanyabiashara wa Tanzania, serikali mkoani Songwe imewapa wafanyabiashara hao siku 4 kununua mashine za lisiti za EFD kuanzia wiki ijayo na atakayebainika hana mashine hiyo atachukuliwa hatua.