Mafundi simu sasa kusajiliwa Mafundi simu. Serikali imeagiza kusajiliwa kwa mafundi wanaotengeneza simu nchini ili mafundi hao waweze kufanya kazi zao kwa mujibu wa sheria, na kutoa huduma zenye viwango na ubora. Read more about Mafundi simu sasa kusajiliwa