Wanafunzi 2 wafariki kwa kuangukiwa ukuta Temeke

Kamanda wa Polisi mkoa wa Temeke.

Wanafunzi wawili wa shule ya msingi Bwawani, Mtoni Kijichi Wilayani Temeke, wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa uzio wa shule wakiwa wamekaa wakiendelea na shughuli zao za kawaida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS