Maamuzi ya mahakama kesi ya Akwilina

Jopo la viongozi CHADEMA, wakiwa kwenye kizimba vya mahakama.

Kesi inayowakabili viongozi wa juu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Freeman Mbowe imesogezwa mbele tena hadi Disemba 21 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa tena.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS