Mtoto afichwa kabatini kwa miezi mitano Dodoma Binti mwenye mtoto akiwa na mwanae hospitali. Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi mitano, jijini Dodoma amefungiwa kabatini na mwajiri wa mama mzazi wa mtoto huyo ambaye alikuwa akifanya kazi za ndani. Read more about Mtoto afichwa kabatini kwa miezi mitano Dodoma