Alikiba atuhumiwa kwa wizi

Alikiba.

Msanii mkonge wa muziki wa Bongo Fleva, Domo Kaya amesema kuwa wasanii wapya kwenye muziki huo wanatakiwa kuwa wabunifu, baada ya msanii Alikiba kutumia kidokezo 'Yebaba' ambacho alikuwa alikitumia yeye mwanzo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS