Zahera awaonya Simba kuhusu AS Vital Club Mwinyi Zahera, Chama na Patrick Aussems Kocha wa Yanga raia wa DR Congo, Mwinyi Zahera, amesema kutokana na uzoefu wa klabu ya AS Vita anaamini Simba itapata wakati mgumu japokuwa ina wachezaji wazuri. Read more about Zahera awaonya Simba kuhusu AS Vital Club