Manara aihofia BASATA, amtaja Jokate Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mwaka ukiwa unaelekea ukingoni leo Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya klabu ya Simba, Haji Manara ameweka hadharani orodha ya wanasanaa mbalimbali walioukonga moyo wake. Read more about Manara aihofia BASATA, amtaja Jokate