''Dosari za 2009 na 2013 kuitesa Liverpool'' - FA
Ligi kuu ya soka nchini England EPL jana iliendelea ambapo vinara Liverpool, waliendelea kujikita kileleni baada ya wapinzani wao Man City kupoteza mchezo wao dhidi ya Leicester, lakini licha ya hilo msanii Mwana FA haamini kama Liverpool watatwaa ubingwa.

