Magufuli afuta kikokotoo kipya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameagiza vikokotoo vya mafao ya wafanyakazi katika mifuko ya hifadhi ya jamii, vilivyokuwa vinatumika kabla ya mifuko kuunganisha viendelee kutumika kwa kila mfuko hadi mwaka 2023.

