'Teleza' azidi kuleta hofu Kigoma Meya atoa neno

Wananchi wakiwa kwenye taharuki

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Hussein Ruhava amekiri kuwepo kwa sintofahamu juu yauwepo wa mtu anayefahamika kwa jina la 'Teleza' ambaye amedaiwa kuwaingilia kimwili wanawake wasiokuwa na waume usiku kwenye wilaya hiyo bila ridhaa yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS