Aliyezuia kitanda kusafirishwa apewa adhabu

Kitanda cha Mbao.

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imeeleza kumchukulia hatua za kinidhamu mmoja wa Maafisa wake wa Misitu wa Wilaya ya Korogwe, aliyeonekana kwenye kipande kifupi cha Video iliyokuwa ikisambaa mitandaoni akibishana na abiria aliyekuwa akisafirisha vitanda viwili vya mbao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS