"Chemical ana ninachohitaji, sitoacha" – Stereo Rapper Stereo ambaye anafanya poa kwenye mistari ya Hip Hop bongo, amefunguka juu ya hisia zake kwa Chemical, na kusema kwamba alikuwa 'serious' pindi alipomfuata kumueleza. Read more about "Chemical ana ninachohitaji, sitoacha" – Stereo