Dismas Ten atoa maagizo kwa Hassan Kessy Kushoto ni Dismas Ten na kulia ni Hassan Kessy Msemaji wa klabu ya soka ya Yanga, Dismas Ten, amemtaka mlinzi wa kulia wa timu ya Nkana Red Devils ya Zambia, Hassan Kessy aifunge Simba kwenye mchezo wa klabu bingwa Afrika Jumamosi hii. Read more about Dismas Ten atoa maagizo kwa Hassan Kessy