Zahera atoa masharti, yasipotimizwa anagoma

Kocha Mwinyi Zahera

Kocha mkuu wa vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara, Mwinyi Zahera ametoa masharti kwa shirikisho la soka nchini TFF, kuwa libadilishe ratiba ya baadhi ya michezo  ili kuweza kuwapa nafasi wachezaji kupumzika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS