Dembele alipompiga bao Yamal na kubeba Ballon d'Or Ousmane Dembele Akiwa na mabao 35 na asisti 16, mshindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Ousmane Dembele ndiye aliyependwa zaidi katika hafla ya Jumatatu jioni ya utoaji wa tuzo huko Paris. Read more about Dembele alipompiga bao Yamal na kubeba Ballon d'Or