Mgombea Ubunge wa CUF auawa Kilimanjaro Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, mauaji hayo yametokea jana Oktoba 7 2025 majira ya saa 1:30 usiku katika kijiji cha Kilingi Sanya juu wilaya ya Siha mkoani humo. Read more about Mgombea Ubunge wa CUF auawa Kilimanjaro