Msako wa Ndege iliyopotea 2014 waanza upya

Shughuli ya kutafuta mabaki ya ndege ya Malaysia MH370 itaanza tena tarehe 30 Disemba, zaidi ya muongo mmoja baada ya ndege hiyo iliyokuwa na watu 239 kutoweka, imesema serikali ya Malaysia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS