Mzee Chilo na Nikita wafunguka kuhusu Mikalla

Pichani, kulia ni Mikalla kipindi anaigiza filamu, na kushoto ni picha anazopost sasa kwenye mitandao.

Baada ya msanii wa maigizo anayejulikana kwa jina la Mikalla kusambaa picha zake kuzua gumzo mitandaoni kutokana na umbo lake, wengine wakudai kuwa amefariki na sio yeye na wengine wakiamini kuwa ndio mwenyewe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS