Kigwangalla amvaa Masha sakata la Fastjet

Pichani, Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla, Mwenyekiti Mtendaji wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania

Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla ameitetea Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukanusha kwamba haijazuia vibali vya kuingiza ndege mpya kwenye Kampuni ya Fastjet Tanzania inayomilikiwa na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS