Tundu Lissu 'amvuruga' tena Spika Ndugai

Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu.

Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili za Ulaya na Marekani kuanzia Jumatatu, Januari 28, mwaka huu, ambako atafanya vikao kadhaa na viongozi wa kiserikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS