Tundu Lissu 'amvuruga' tena Spika Ndugai
Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili za Ulaya na Marekani kuanzia Jumatatu, Januari 28, mwaka huu, ambako atafanya vikao kadhaa na viongozi wa kiserikali.

