Maalim Seif amtuhumu Makamu wa Rais kupanga njama
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif amemtuhumu Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd kupanga njama za kukwamisha kazi yake ya kukijenga chama.

