Zahera agoma kulaumu timu, ataja waliofanya uzembe

Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera

Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema katika mchezo wa jana dhidi ya Biashara United, hawezi kuilaumu timu nzima kwa mabao mawili waliyofungwa, bali ni kwa uzembe wa mchezaji mmoja mmoja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS