Mambo mawili wanayojivunia Simba Wachezaji na makocha wa Simba Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa kiungo wake Haruna Niyonzima amesema mpaka jana Februari 1 walipomaliza maozezi ya mwisho wachezaji wote walikuwa salama na tayari kwa mchezo huo wa leo. Read more about Mambo mawili wanayojivunia Simba