Mbowe apewa masharti
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amempa ruhusa ya kufanya mikutano ya hadhara Mbunge wa Jimbo la Hai ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na kumtaka Mbunge huyo kuzungumzia ajenda ya maendeleo.

