Warioba ashtua viongozi maisha baada ya madaraka
Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Rasimu ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba amewashauri viongozi na wanasiasa vijana waliopo madarakani kuwa na maadili katika kazi zao na kwamba wakumbuke kuna maisha baada ya uongozi.
