Warioba ashtua viongozi maisha baada ya madaraka

Jaji Joseph Warioba

Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Rasimu ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba amewashauri  viongozi na wanasiasa vijana waliopo madarakani kuwa na maadili katika kazi zao na kwamba wakumbuke kuna maisha baada ya uongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS