Wema Sepetu apewa onyo la mwisho

Wema Sepetu.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam imemuonya msanii wa Filamu nchini humo, Wema Sepetu, kutokukiuka masharti ya dhamana, vinginevyo haitasita kufutia dhamana yake. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS